Tuesday, June 7, 2016

Stephen Okechukwu Keshi afariki dunia .



Marehemu Stephen Okechukwu Keshi
Keshi aliyekuwa na umri wa miaka 54 amefariki dunia leo alfajiri huko Benin, ambapo taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Ben Olaiya.
Pia Mkurugenzi Msaidizi wa Mawasiliano wa Shirikisho la Soka Nigeria, Ademola Olajire, amesema Keshi amefariki dunia baada ya kukimbizwa hospitali akilalamika miguu kuuma.

No comments:

Post a Comment