Sunday, January 31, 2016

Hizi Ndio Hasara 5 za ushauri wa Rafiki kimapenzi.


 
Watu wengi wamekuwa wepesi sana kukimbilia kwa rafiki zao ili kuomba msaada wa mawazo ya nini wafanye kwenye mapenzi. Imani iliyojengeka kwa watu wengi katika jamii yetu ni kuwa ushauri ni kitu muhimu sana kwa kila hatua.

 Kwa mtazamo wa haraka haraka unaweza kuishia kwenye ukomo huo wa fikra na kuamini juu ya ushauri wa mtu kukufikisha mahali sahihi kwenye mapenzi. Unapokerwa na mpenzi unakimbilia kushauriwa na wakati mwingine hata unapotaka kuoa au kuachana na umpendaye, unamuomba rafiki yako ushauri. Je, umeshawhi kufikiria hasara za kuomba ushauri wa kimapenzi kwa rafiki yako? Hebu ungana nami wiki hii ili nikumegee kidogo hasara za ushauri.  

UTAKUPOTOSHA

Ni wazi kwamba kipimo cha uelewa kinatofautiana kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Ifahamike kuwa, uhodari wa mambo nao hutofautiana, mtu anaweza kuwa mahiri katika siasa na akaaminika kwenye jamii, lakini ukimpelekea suala la mapenzi anakuwa hajui kitu, hivyo ni rahisi kukupotosha.

Uchunguzi unaonyesha kuwa, wapenzi wengi sana hupotoshwa na rafiki zao wasiokuwa na uelewa wa kutosha juu ya tatizo au suala husika la kimapenzi. Ni vema kuwa makini unaposhauriwa.


UTARAHISISHA MAMBO

Mara nyingi washauri huwa si wao wanaokabiliana na mambo, hivyo ni rahisi kwao kupima vitu kwa juu juu tu na kushauri kirahisi rahisi. “Vipi kakupiga namna hii, aaa huyu si mwanaume kwa kweli ni bora ukaachana naye.” Anasema ni bora kuachana naye kwa sababu haumizwi na kuachana, unayeachana ni wewe anayekushauri.

“Mkubali tu bwana unalaza damu, hiyo tabia yake ya uhuni atabadilika, shosti unataka kuacha bahati ipite?” Kwa mshauri ni rahisi kusema hivyo lakini kumbuka ukubwa wa tatizo hatimaye utakabiliana nao wewe. Hii ina maana kwamba, unapofikiria kuhusu ushauri ufikirie pia kuhusu kushauriwa jambo kirahisi, ukiuvaa mkenge mwenye kuumia utakuwa ni wewe.

UTAKUGEUZA

Ulimwenguni kuna aina zaidi ya 1000 za mapenzi na kila mmoja anatajwa kupenda kwa staili zake. Mapenzi ni kama chembe hai nyekundu zilizopo kwenye damu ya mwanadamu ambazo zinaelezwa na wataalamu kuwa hazifanani hata kidogo. Uzoefu unaonyesha kuwa, washauri wengi hushauri kwa uzoefu wao, lakini je ni sahihi uzoefu huo uwe msaada kwa mtu mwingine?

Jibu ni hapana, kinachotokea mara nyingi kwenye ushauri ni mtu kumfanya mwenzake awe kama yeye alivyo, yaani apuuze aamue na apende kama staili yake, jambo ambalo haliwezekani kabisa kwenye mapenzi. Vipi Juma ageuke ghafla awe kama Hassan kwenye suala la mapenzi? Ushauri ni muhimu lakini upime kama unalingana na matakwa yako.

UTAKUONDOLEA UJASIRI

“Kwa maelezo hayo mumeo ni malaya sana, naona itakuwa vigumu kumbadilisha, ni bora ukaanza maisha yako kwa sababu kuna siku hali itakuwa mbaya.”
Huu ni ushauri ambao unaweza kumuondolea mtu ujasiri wa kukabiliana na tabia ya mumewe hadi kufikia hatua ya kumsaidia akaachana na tabia zake mbaya.

Ushauri huondoa ujasiri wa kukabili tatizo hasa pale anayekushauri atakapolipeleka suala lako kwenye njia ngumu isiyokuwa na ufumbuzi. Ikumbukwe kuwa anayeamini kushindwa ni mshauri lakini wewe kama mwanamke unaweza kusimama kutetea penzi lako na kuliweka sawa mpaka jamii ikasema: “Jamani huyu dada kamrekebisha kweli mumewe, hakuwa hivi alikuwa mlevi lakini sasa kaacha pombe.

UTAKUNYIMA FURSA

Kwenye mapenzi kuna fursa nyingi za mafanikio ambazo unaweza usizipate ukiwa mtu wa kusikiliza sana ushauri wa watu. Kuna wakati ambao unatakiwa usimame wewe kuamua kumpenda mtu ambaye jamii inaona kama utapotea.

Zari Hassan Ahofia Kuishi Bongo..Tumbua Tumbua ya Majibu ya Magufuli Yamtisha.


Ubuyu! Tumbuatumbua ya majipu ya Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ inadaiwa kumtisha mwandani wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kuja kuishi Bongo ikidaiwa kisa ni utajiri mkubwa alionao wenye shaka juu ya malipo ya ushuru na mapato.

Habari kutoka kwenye chanzo cha ndani cha familia ya Diamond, zimeeleza kuwa Zari alikuwa na mpango wa kuhamishia miradi na makazi yake rasmi Dar mwanzoni mwa mwaka 2016 lakini ndoto hiyo inaonekana kuyeyuka.

Chanzo hicho kilieleza kuwa, familia ya Diamond imekuwa ikimshinikiza jamaa huyo amshawishi Zari kuwekeza Bongo lakini kwa sasa mpango huo umefutika kwani mwanadada huyo anaogopa kutumbuliwa majipu.

“Unajua Zari anafuatilia kila kitu kinachoendelea nchini. Kwa hiyo usidhani hajui mambo ya TRA (Mamlaka ya Mapato) yalivyochachamaa.

“Unajua anasema akihamia Bongo itabidi aingize nchini yale magari yake ya kifahari anayotembelea akiwa Sauz (Afrika Kusini) au Uganda lakini anahofia tumbua majipu ya Magufuli.
“Wewe fikiria kama lile Range (Rover) la Wema (Sepetu) limekamatwa na TRA, itashindikana nini kukamata Hummer au Lamborghini ya Zari?

“Nafikiri ishu ni utajiri wake. Nilishasoma kwenye vyombo vya habari vya Uganda kuwa utajiri wake wa ghafla umekuwa ukiibua sana maswali na yeye huwa hapendi kuzungumzia vyanzo vya utajiri wake,” kilinyetisha chanzo chetu.

Baada ya kumwagiwa ubuyu huo, mwanahabari wetu alithibitisha kuwa kweli Zari hayupo Bongo yupo Sauz hivyo alimsaka Diamond ambaye alikuwa na haya ya kusema: “Zari ana miradi mingi, muda wa kuwekeza Bongo ukifika atakuja kufanya hivyo.

uhusu mheshimiwa (Magufuli) mimi nampongeza kwa kutumbua majipu kwa sababu tulikuwa tunahitaji kiongozi kama yeye,” alisema Diamond na kuongeza kuwa mpango wa Zari wa kuja kuishi Dar upo palepale.

Nimekoma Kumchunguza Mpenzi Wangu..Haya Ndio Yaliyonikuta..

Naombeni ushauri wadau,
Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.
Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.
Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.

Namshukuru Mungu kwa Mara ya Kwanza Nimepata ‘Comments’ Nzuri-Faiza Ally


Staa wa Bongo Movies na mkali wa ‘baby mama drama’ , Faiza Ally amemshukuru Mugu baada ya mashabiki wengi kumuandikia comment nzuri mtandaoni kwa posti yake akiwa amevalia ‘kidenti’ akiwa kwenye studio za EATV usiku wa jana tofauti na posti zake za nyuma.

Nachukua nafasi hii kumshukuru M.Mungu mwingi wa rehma kwa kuwa naona kwa mara ya kwanza katika comment zaidi ya mia 300 zote ni nzuri kasoro 3 kwa mimi ni kitu kikubwa maana kwenye maisha yangu mara nyingi nimekua mtu wa kujajiwa na kutukanwa kwa sababu tu nimechagua kuwa tofauti…

All in all inaonyesha jinsi gani watu ni rahisi kukujaji na inachukua muda kukuelewa na sasa naona baazi ya watu wanaanza kunielewa na asante wote mnao chukua muda kunisoma na zaidi wale wanao niambia….ninacho waahidi wale walio nikubali wala hawajapotea kabisa na kuna faida nyingi kupitia maisha yangu – na katika kipindi changu kuna mengi ya kujifunza kupitia maisha yangu …. Kitakua kipindi kizuri chenye uhalisia na kitakacho kufanya ujisikie uhuru kwenye maisha yako…

Na kukubali hali yako na kufurahia maisha kwa uwezo wako na zaidi vitu muhimu kuzingatia katika maisha yako ikiwemo kufanya vitu vinavyo kupa furaha bila kujali watu … Maana walio wengi hata ukimuuliza anapenda nini hajui…na pia kuna vitu muhimu vya kuzingatia kuliko kuishi kwa ajili ya macho ya watu… Na bila kusahau huwezi kukubalika kwa watu na si lazima maana tumeumbwa tofauti na uwezo wetu wa kutambua haufanani kiufupi ni kuishi huru bila kumzuru mtu wala kuvunja sheria za nchi na kufanya yalio muhimu tu….NAWAPENDA WOTE

Mpoto Asimulia Alivyonusurika Kipondo Kutoka kwa Wabongo wa UK,

Msanii wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto ameeleza jinsi alivyochezewa faulo na waandaji wa onesho lake nchini Uingereza kwa kuanza kutambulisha onesho lake jukwaani kwa kucheza wimbo wa Taifa wa Kenya.

Akizungumza katika kipindi cha Papaso cha TBC FM Jumatano hii, Mrisho Mpoto alisema hali hiyo iliwafanya watanzania waliohudhuria onesho hilo kumvamia nyuma ya jukwaa na kutaka kujua kwanini alifanya hivyo.

“Mimi nakumbuka niliwahi kuchaguliwa na Kenya ili kujumuika na wasanii wengine wa Uganda na Kenya kufanya onesho la Global Shakespeare,” alisema Mpoto.

“Kuna mwandishi duniani anaitwa William Spears aliteua vitabu vyake 42 vitafsiriwe katika lugha mbalimbali duniani kikiwemo Kiswahili. Vile vitabu baada ya kutafsiriwa akasema vikachezwe kwa lugha zao. Kwahiyo ile kazi walipewa Wakenya, Kenya walivyopata ile tenda wakasema tufanye ‘East African Project’ au mradi wa Afrika Mashariki.

Niliambiwa kwamba tunafanya project ya Afrika Mashariki na nikaoneshwa barua ya kwamba wale ‘Global Shakespeare’ kutoka London wamerecommend kwamba katika kazi hii mtu anayeitwa Mrisho Mpoto asikose. Kwahiyo wale waliniomba mimi nikafanye ile project kama mhusika mkuu ambae ni full staff. Kwahiyo mimi nikaingia mkataba na kampuni ya Kenya theater kama mwakilishi kutoka Tanzania, pia wawakilishi wengine kutoka katika mataifa ya Afrika alisaini mkataba na wote tukafanya mazoezi kwa miezi mitatu nchini Kenya,” alisema.

Aliendelea, “Tulipokuwa London kwenye show yetu ya kwanza ambayo ilihudhuriwa na watu wa mataifa mbalimbali pamoja na watanzania, sisi tukiwa back stage tukiwa tunajiandaa kwa ajili ya kuingia jukwaani kuanza kuigiza kitabu, mimi ni mhusika mkuu ambaye naingia baada ya onesho kuanza. Kwahiyo wale watu waliotangulia kabla ya kuanza mchezo lazima utaimbwa wimbo wa taifa. Kwahiyo katika kuimba wimbo wa taifa, uliimbwa wimbo wa taifa la Kenya na asilimia 90% ya watu walikuwa Wakenya. Kwahiyo baada ya wimbo wa taifa mchezo unatakiwa kuanza, kwahiyo nichague mawili, nisiingie jukwaani au niingie jukwaani kwa sababu ya mkataba halafu nije nihoji kwanini walinifanyia hivyo?@

“Kwahiyo baada ya mchezo watanzania wanaoishi Uingereza wakaja back stage, wakawa wakali wakanikunja na kutaka kunipiga. Lakini bahati nzuri polisi wakaja wakazuia, watu wakawa wamekasirika sana kwanini naimba wimbo wa Kenya wakati mimi ni Mtanzania? Lakini nashukuru Mungu niliongea mpaka kwenye BBC pia tukaenda ukabozi wa Tanzania, nikawaambia hapana mimi nilichezewa faulo, sikuwa na nia hiyo.”

Saturday, January 30, 2016

Ali Kiba Aguswa na Maneno ya Ruby..Amuomba Msamaha


Ali Kiba Ameshutumiwa na Mwanamuziki Ruby kuwa amemfananisha na Mbwa alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha Sporah Show..
Ali Kiba Amemjibu Ruby Kupitia Ukurasa wake wa Insta na kumuomba msamaha lakini post hiyo haikukaa sana kwani aliifuta baada ya muda si mrefu ila tumeipata na kukuwekea hapa chini;

Ali Kiba Amfananisha Mwanamuziki Ruby na Mbwa..Ruby Amshukia Ali Kiba na Kufunguka Makubwa

Mwanamuziki Ruby amefunguka kwa uchungu kuhusu Mwanamuziki Ali Kiba Kumfananisha na Mbwa....
"Kabla ya yote naombeni sana mashabiki zangu, mniwie radhi kwa nnacho kiandikia katika ujumbe huu binafsi mimi sijapendezewa kabisa na alichokisema kaka yangu @officialalikiba kwenye kipindi cha @thesporahshow kilichorushwa kupitia @cloudstv kaka yangu alikiba mimi ni mdogo sana kwako si kwa umri wa kimuziki, sikutegemea na sijapendezwa na kauli yako yakunifananisha mimi na MBWA mimi ni binaadam na ni mdogo wako kama alivyo @zabibu92kiba sidhani kama ungeweza kumwita huyo mbwa wako zabibu au abdul, mimi sina ukaribu wowote na wewe lakini kama mtu niliyemkuta kwenye industry na uliyenitangulia kuliona jua na mpaka uliponifwata kuniambia una- appreciate kazi yangu nakuniomba nifanye nyimbo na mdogo wako @officialbdukiba na nikakubali yote hayo yalifanikiwa kutokana na love niliyokuwa nayo kwako kama kaka yangu,hujawahi hata siku moja kunitamkia kwamba unambwa wako anaitwa Ruby, kwa sababu mimi na wewe tumesha kutana nakuongea si chini ya mara moja, hujawahi kusema hilo kwangu, ila umekuwa ukiniambia tu naimba vizurii, je ulisahau nini kaka yangu hadi kushindwa kuniambia muhusika wa jina la mbwa wako mpya,mimi nimeona ni kejeli na dharau kubwa na hazisaidii katika maisha zaidi ni kujishushia heshima yako haipendezi kwa mtu kama wewe ambae pia unaangaliwa na watu wengi kama kioo cha jamii,nategemea kuona mfano mzuri kutoka kwako nikiwa kama mdogo wako lakini umenitia giza machoni @officialalikiba kakaangu kwakweli nimekwazika sana kwasababu mimi ndo kwanza naanza game naanza kazi ya kuendeleza nchi hii na afrika kwa dunia nzima kwenye upande wasanaa ambao wewe umeshaanza muda ,lakini nimestaajabu unanifananisha na mbwa ,cha ajabu zaidi hata watu wako wa karibu @rehemavisuallab @zabibu92kiba hawaitamki wala kuileta katika jamii kwa usahihi wa mbwa kweli ,Naamini Mungu hamtupi mja wake, chozi la mnyonge haliendi bure, Me namuachia Mungu" Rubby

Mitandao 10 Maarufu ya kupata Wachumba .


 Tunatumia mtandao kila siku. Wengi wetu huchukua muda wao mwingi sana kuingia online na kuchat na marafiki, kupata habari, kudownload, kusoma udaku, kuangalia video nk.

Well, wengine huingia online kutafuta mitandao ambayo ni spesheli ya kutangamana na kutafuta wachumba. Uzuri wa kutafuta wachumba kupitia mitandao ya kijamii ni kuwa una nafasi kubwa zaidi kuchagua mchumba ambaye anatabia ambayo unazipenda.

Leo kwa haraka nimeamua kuorodhesha mitandao bora zaidi ambayo ina umaarufu zaidi barani Afrika.

Mitandao ya kutafuta wachumba

1. Zoosk
Huu ni mtandao ambao wenyewe wanaupigia upato kuwa mtandao wa kutafuta wachumba unaoongoza kwa umaarufu bara la Afrika. Mtandao huu unaruhusu watumiaji kuweza kujamiiana na wenza katika mitaa unayoishi. Uzuri wa mtandao huu ni kuwa unatumia mashine inayoitwa Behavioral Matchmaking™ wenye uwezo wa kutambua mchumba atakaye kufaa zaidi kwa kutumia profile yako. Mtandao huu una watumiji zaidi ya milioni 25 duniani.

2. Tinder
Huu mi mtandao spesheli wa kutumia kitumizi. Mtandao huu ni rahisi kuutumia. Kile kinachohitajika hapa ni kusukuma upande wa kulia kupenda picha ya mtu ama kusukuma upande wa kushoto kutakaa picha ya mtu. Iwapo wewe na mwengine mumependezwa na picha zenu mtaorodheshwa kama wachumba wa kifani.
3. Lovoo
Huu ni mtandao ambao unauwezo wa kutafuta wachumba wanaoishi karibu na wewe. Watumiaji wa mtandao huu ni milioni 12, Mtandao huu hutumia teknolojia ya rada kuwatafuta wachumba walio karibu nawe.
4. Eskimi
Huu ni mtandao maarufu ambao una uwezo wa kuunganisha marafiki zako wa facebook ambao wako eskimi. Mtandao huu unakupa nafasi ya kuwaangalia na kutafuta wachumba kulingana na nchi, mikoa na miji tofauti tofauti.
5. SpeedDate
Huu ni mtandao unaokua kwa kasi zaidi. Ukiwa na watumiaji zaidi ya milioni 13, mtandao huu una uwezo wa kuwezesha kufanyika kwa deti kwa wakati uliopo na pia kuchat papo kwa hapo. 
6. BeNaughty
Huu ni mtandao unaokuwezesha kutongoza, kujamiiana na kutangamana na wengine ambao wako single. Mtandao huu una uwezo wa kuwaorodhesha wanawake 100 wazuri zaidi hivyo kukupatia nafasi ya wewe kuchagua bila tatizo.
7. Tagged
Huu ni mtandao wenye watumiaji zaidi ya milioni 300. Mtandao huu unakupa nafasi ya kukutana na kipenzi chako kupitia kwa michezo ambayo inapatikana ndani yake. 
8. Instadate
Mtandao huu ni maarufu zaidi nchini Liberia. Mtandao huu unakupa nafasi ya papo kwa hapo kuweza kuchat na watumiaji ambao wako single
 
9. AYI – Are You Interested?
Huu ni mtandao wa watu wakubwa. Mtandao huu umeunganishwa na facebook ambapo unaweza kuangalia picha, kuapload picha, kulike na kujua nani yuko interested.
10. SayHi!
Huu mtandao unadai kuwa na uwezo wa kuwaunganisha wachumba wapweke kupata mapenzi, kuweza kutongoza, kuchat na pia kupata marafiki wapya. Jambo la kipekee kwa mtandao huu ni kuwa mtumiaji anaweza kutafuta mchumba kwa kuangalia ramani na pia kutafuta deti kwa sehemu za karibu unazoishi.

Hivi Ndivyo Gari Jipya la Wema Sepetu Aina ya Range Lilivyokamatwa na Maafisa wa TRA..

Mama kijacho Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ kwa mara nyingine ametengeneza kichwa cha habari, safari hii amewekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa kosa la kuendesha gari aina ya Range Rover Evogue bila kuwa na vibali, Risasi Jumamosi lina ‘full’ stori.
Tukio hilo lililodumu kwa takriban saa tatu lilijiri Jumanne iliyopita maeneo ya Aficana, Mbezi Beach jijini Dar wakati mrembo huyo alipokuwa ‘kiguu na njia’ kwenda kwenye bethidei ya rafiki yake aliyefahamika kwa jina la Kibadude.

Gari lake likikaguliwa na maofisa wa TRA

NI LILE ALILODAI KUJIZAWADIA
Kwa mujibu wa chanzo makini kilichokuwepo eneo la tukio, gari hilo alilokamatwa nalo Madam ni lile alilojizawadia kwa mbwembwe nyingi mwishoni mwa mwaka jana katika siku yake ya kuzaliwa ambalo lina thamani ya shilingi milioni 200 za Kibongo.
“Nimepiga picha. Wamemtaiti hapa Mbezi Africana, naona maofisa wa TRA wanamhoji. Lina tatizo katika uhalali wa kuingia nchini. Hapa sasa naona wanaomhenyesha ile mbaya. Si kawaida.”

AMWAGA CHOZI
“Sasa namuona Madam machozi yanamtoka yenyewe… anahaha, mara aende huku mara kule. Nahisi so litakuwa limemkalia vibaya maana kila simu anayopiga hapati msaada,” kilinyetisha chanzo hicho.
index2Ukaguzi ukiendelea

TRA WABAINI FIGISUFIGISU
Gazeti hili lilizungumza na ofisa mmoja wa TRA ambaye alikuwepo kwenye tukio hilo aliyeomba hifadhi ya jina kwa kuwa si msemaji wa mamlaka hiyo aliweka wazi kuwa, walibaini figisufigisu katika gari hilo.


“Hili gari ni moja kati ya magari ambayo yanaingia nchini kutokea nchi ya Msumbiji. Hata namba zake za usajili zinaonesha hivyo. Sasa huwa yanakatiwa vibali vya miezi mitatu au kulipiwa ushuru na kununuliwa. Liliingia nchini tangu mwaka jana.

“Tumekuta halina vibali maana vibali vya miezi mitatu vimeisha, tumemuuliza atoe nyaraka za gari, anasema zipo nyumbani, tukamwambia twende huko nyumbani ukazitoe, akabadili lugha, akasema anazo Steve (Nyerere). Inaonekana hili gari lina matatizo makubwa ya ushuru,” alisema ofisa huyo.

FIGISU NYINGINE
Kumbukumbu zinaonesha gari hilohilo la Wema ambalo alisema amejinunulia kwa fedha zake, ndilo alilodaiwa kununuliwa na mbunge machachari wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye aliwahi pia kutajwa kuwa ndiye baba kijacho wake kabla ya Idris Sultan kuibuka na kujinadi kuwa ndiye ‘mmiliki’ halali wa tumbo hilo.

KIGOGO SERIKALINI AMUOKOA
Paparazi wetu alimtafuta mtu wa karibu kabisa na Wema ambaye alieleza kuwa, Madam baada ya kuhaha kwa muda mrefu eneo hilo huku akiwa chini ya ulinzi wa polisi wenye bunduki, alipata wazo la kumpigia kigogo mmoja serikalini (jina tunalo) ambaye alimpa msaada kwa masharti.
“Alimpigia simu… (anataja jina la kigogo), akamweleza matatizo yaliyomkuta, naye akazungumza na maofisa wa TRA, wakakubaliana kwa masharti kwamba asilitumie gari hilo ndani ya wiki moja mpaka apeleke vibali vya gari hilo,” alisema mtu huyo wa karibu na Wema.

HUENDA LIKATAIFISHWA KAMA LA WOLPER
Kwa mujibu wa taratibu na sheria za TRA, endapo Wema atashindwa kutoa nyaraka muhimu za gari hilo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake ikiwa ni pamoja na  kutaifishwa kwa gari hilo kama ilivyomtokea mwigizaji Jacqueline Wolper ambaye mwaka 2014, gari lake aina ya BMW X6 lilikamatwa na kutaifishwa kwa kushindwa kulipia ushuru na kukosa vibali halali.

WEMA ASAKWA
Baada ya kupewa taarifa hizo, gazeti hili lilimtafuta Wema kwenye simu yake ya mkononi lakini muda wote iliita bila kupokelewa na hata alipotumiwa ujumbe mfupi, hakujibu.

MENEJA WA WEMA ANENA
Alipoulizwa kuhusu suala hilo, meneja wa msanii huyo, Martin Kadinda alisema yeye alisikia kwa watu kuhusu taarifa za Madam kukamatwa na gari hilo lakini alipomuuliza alimwambia si kweli, ni uzushi tu na hata gari hilo lipo nyumbani aende kuliona jambo ambalo alilifanya na kweli akajionea gari hilo.

“Ni uzushi tu. Nimeongea na Madam, akanihakikishia kwamba hamna kitu kama hicho. Nikaenda kulitazama gari, nikalikuta nyumbani kwake Ununio, shwari kabisa,” alisema Martin.
Gazeti ndugu na hili, Amani, toleo la Alhamisi iliyopita, ukurasa wa nyuma kulikuwa na habari yenye kichwa; Range la Wema layeyuka. Msingi wa habari hiyo ni taarifa kuwa, Wema haonekani akiwa na gari hilo licha ya kujinadi kuwa ni lake. Amekuwa akitumia kigari kidogo ‘ki-kirikuu’ kuendea kwenye shughuli zake.

Ilidaiwa kuwa, Wema alilipeleka gereji au yadi ya kuuzia magari, gari hilo hali iliyowafanya mapaparazi wa OFM kulisaka bila mafanikio huku ikielezwa kuwa, gari hilo si lake bali huwa anapepewa kwa muda kujiachia nalo.

Friday, January 29, 2016

Desperate Single Women, Acheni Complication .

Desperate Single Women
Watajwa hapo juu ni wanawake ambao hawana waume/mahusiano ya kudumu.
Wanaomba wapate japo mwanaume atakaweza kumsitiri, wengi wao ni wale ambao umri wa kugombaniwa na wanaume umepita kundi hili ndio wateja wazuri wa waganga wa kienyeji kwaajiri ya kusafisha nyota na kununua MGAGANE, ili aweze kuwanasa wanaume.

Tatizo lililopo ni baadhi yao wako very complecated, anaweka sifa na vigezo utafikiri ametoka kufanya NECTA Mwaka jana. Wadada, ukiwa kwenye fainali usisumbue bidders (watarajiwa) kuwa mnyenyekevu shukuru kwa yeyote anayekujia mradi anaakili timamu na anaweza kujitegemea na imani zenu ziwe sawa achana na kutafuta HB mda umeshakuacha!

Karibu tujumuike

Onyo, nothing personal here so don't come crushing to attack an innocent messenger like me.

Aika na Nahreal; Muziki Kama Kawa, Mapenzi Kama Dawa .


 Miongoni mwa wasanii wanao-ipeperusha vyema bendera ya Bongo kwa sasa ni Aika na Nahreal wanaounda Kundi la Navy Kenzo ambao pia ni ‘couple’ waliodumu kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miaka 8, tangu waanzishe uhusiano huo mwaka 2008 walipokutana wakiwa masomoni India.
Ni ukweli usiofichika mafanikio ya wasanii hawa yanakua kwa kasi kutoka ‘uyoga’ kuelekea kuwa ‘mbuyu’, haya chini ni mambo ambayo huenda ulikuwa huyafahamu kuhusu wao.
Maisha yao binafsi
Aika na Nahreal wanakula na kupakua pamoja, akizungumzia juu ya maisha yao, Nahreal anasema imewalazimu kupanga saa za kufanya kazi pamoja na kutenga muda mwingine wa mapumziko ambao huutumia kama familia kuimarisha uhusiano wao na kutengeneza mustakabali wa maisha yao ya baadaye.


Kuhusu kazi
Wanapiga mzigo chini ya Kundi la Navy Kenzo na lebo ya The Industry inayobebwa na jina la studio wanayoimiliki, wote wakiwa mameneja mbele ya timu ya watu nane.
Kama kundi, tangu wameguke kutoka Pah One wamefanya nyimbo nyingi zikiwemo Hold Me Back, Cheza Kizembe (Waliurekodia Uganda), We Do Work, Bokodo, Aiyola, Visa na Game.
Japo hawajafanikiwa kupata tuzo lakini wameorodheshwa kwenye tuzo nyingi ikiwemo ya Top Naija Music Awards ya Nigeria pia wamewahi ‘kupafomu’ kwenye tamasha kubwa la muziki lililowashirikisha wasanii wa Kiafrika lakini wanaofanya vyema kimataifa. Tamasha hilo lilibebwa na jina la African Music Concert na lilifanyikia Afrika Kusini.
Changamoto
Nahreal anasema mwanzoni wakati wanaingia kwenye gemu changamoto kubwa ilikuwa pesa na sehemu ya kurekodia. Lakini baada ya kupata studio na muziki wao kueleweka kiasi cha kupata shoo nyingi, changamoto zote hizo zimekimbia.
Hawajawahi kutengana
Hivyo ndivyo ukweli ulivyo. Aika na Nahreal wanasema tangu waanze muziki hawajawahi kufanya kazi kila mtu kivyake, mara zote studio wako pamoja, majukwaani na kila kona wanakopiga mzigo kwenye kazi yao hiyo ya muziki.
“Unaweza kufikiri ni masihara lakini ukweli ni kwamba miaka yote sisi tumekuwa tukifuatana kama kumbikumbi linapokuja suala la kazi na hatujawahi kutengana hata siku moja,” anamaliza Nahreal.

Wema Sepetu Aelezea Kwa Kina Beef yake na Zari, ‘Sio Nasib Wala sio Mwanamke Wake, Wote Waniache’

Wema Sepetu amefunguka kwa mapana kuhusiana na ugomvi wake na Zari the Bosslady ulioshuhudia warembo hao wakibadilishana michambo kwenye Instagram.


Miss Tanzania huyo wa zamani alikuwa akihojiwa kwenye Ijumaa hii kwenye kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM. Alikuwa ameongozana na mpenzi wake, Idris Sultan.

Mimi nilivyoamua kuwa out of Diamond’s life niliamua hivyo and I am out of Diamond’s life. I don’t know why watu wanajaribisha sana kunibring back to his life wakati I have already like moved on,” alisema Wema.

“I accepted my break up with Diamond from the beginning and I never wanted anything to do with him, nilivyoamua kwamba this is is going to be it nikaamua. Mimi na Diamond tumeachana 2014 and I was the one who actually decided that it’s going to be over. Lakini wakati Diamond ameshamove on ameshakutana na girlfriend wake, mama wa mtoto wake mimi sikuwahi kujihusisha katika mambo yao. Lakini I think the girl (Zari) anakuwa kama ana kitu na mimi. I have been quite for a very long time, first year nimekaa kimya, second year nimekaa kimya, it’s like kama vile anataka kunichokonoa,” alifafanua.

Wema alisema kuwa kuna wakati Zari alikuwa anatembelea ukurasa wake wa Instagram na kulike baadhi ya post zake lakini aliamua kumblock ili kuepusha shari.

“Nilivyomblock nikaona sasa anaendelea,ataongea atamtag Esma sasa nikitagiwa mimi nakuta kwenye ‘photos of you.’ Anasema ndipo alipogundua kuwa Zari amemwandikia maneno makali yaliyomuumiza kiasi cha kuamua kuuvunja ukimya wake.

“So I said what I have to say, kwasababu najua at that point nimwambie tu kitu ambacho kitamkera, sijui kuhusu mtoto wao that’s their life na sitaki kujihusisha. So nikafanya hivyo ili naye kumkera kwasababu lengo si ni kukerana.”

Wema anasema baada ya kumjibu hivyo Zari, mpenzi wake Idris alimgombeza sana kwakuwa hakufurahia. Hata hivyo amesema watu wake wa karibu walimjaza kuwa amekuwa akimvumilia Zari kwa miaka mingi sasa na kwamba ifike wakati naye ajibu mashambulizi.

“So I was like ‘okay let me do it’ so I did lakini sio kwamba nimetaka kufanya ni kitu ambacho this is not me.” Muigizaji huyo alisema ndio maana aliamua kuandika post kwake kuwa amefunzwa kutogombana na ‘watu wazima.’

Kwa upande wake Idris alisema hakupenda kitendo hicho na hapendi kuona kikitokea tena.

"Mimi sipendi, mimi na Diamond hatuna tatizo, he has been a brother to me for a long time. Naamini kwamba yeye na Wema haya mambo ni ya nyuma na yalishatokea na hakuna tatizo. Sio kwamba wewe ukishaondoka ndio umefunga basi marafiki zako wote, Diamond anajuana na watu wangapi? Kama watu wote anaojuana nao ikitokea mmoja amependana na ex wake basi nilishatoka na kaka yangu basi ndio imetoka,” alisema Idris.

Wema alimalizia kwa kuwataka Diamond na Zari waachane na maisha yake. Mrembo huyo na mpenzi wake Idris wanatarajia kupata mtoto katikati ya mwaka huu.

Wema Sepetu, Najma Washea Penzi la Idris .


Ubuyu mpya kabisa uliotua kwenye meza ya dawati hili unadai kuwa, Mshindi wa Shindano la Big Brother 2014 ambaye anatajwa kuwa ndiye ubavu wa Wema Sepetu kwa sasa, Idris Sultan, anatoka pia na msanii anayefahamika kwa jina la Najma Dattan ‘Naj’.
Najma ni msanii wa muziki aliyewahi kuwa na uhusiano na Mr Blue kabla ya kuhamia kwa Diamond miaka kadhaa iliyopita.

Kisikie chanzo

Chanzo chetu kilicho karibu na Najma kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, Idris na Najma wamekuwa wakitoka kwa muda mrefu na kwa ndugu wa binti huyo wala siyo siri.

“Unajua watu hawajui kuwa Idris yuko na Najma na mara kwa mara amekuwa akienda nyumbani kwao na hata ndugu wa Najma wanamjua.

“Kilichoibua taharuki ni juzikati Idris kudai ile mimba ya Wema ni yake, unaambiwa Najma anashangazwa na taarifa hizo,” kilidai chanzo hicho.

Wanaswa pamoja
Wakati madai hayo yakitua kwenye meza ya gazeti hili, mmoja wa mapaparazi wa Ijumaa hivi karibuni aliripoti tukio la Idris na Najma kunaswa pamoja kwenye hafla ya Clouds TV iliyofanyika pale Escape One, Mikocheni jijini Dar ambapo alisema:
“Mimi niliwaona pale Escape One, Idris alifika na kumchukua Najma na kumuingiza kwenye gari lake na kuondoka, alishuhudia Martin Kadinda, Steve Nyerere na mastaa wengine,” alisema paparazi huyo na kudai alikuwa akifuatilia ili kujua uhusiano wao.
Najma asakwa
Baada ya madai hayo kutua kwenye dawati la Ijumaa, jitihada za kumtafuta Najma kwa njia ya simu zilifanyika na alipopatikana alikiri kujuana vilivyo na Idris ila akagoma kuzungumzia uhusiano wao.
Ijumaa: Najma habari yako, unafahamiana na Idris? Je, ni mpenzi wako kwani kuna madai kuwa wewe unatoka na yeye kimapenzi na kwamba jamaa kakuzimia ile mbaya licha ya yeye kudai kampa mimba Wema, unalizungumziaje hilo?

Najma: Mh! Yaani nyie mmekosa la kuandika na udaku wenu, naomba nisiongelee lolote juu ya hilo.
Ijumaa: Tunachotaka kujua ni kama wewe na Idris ni wapenzi kweli, hilo tu.Najma: Niacheni jamani.
(Akakata simu)
Alipopigiwa tena hakupokea. Kwa upande wa Idris simu yake iliita weee, haikupokelewa, alipotumiwa sms pia hakujibu.
Ijumaa linaendelea kuwawekea mitego kwani kuna msemo wa Kiswahili usemao, mapenzi ni kikohozi, hawawezi kuficha uhusiano wao milele.

Jokate, Kiba Kumwagana, Kumbe Chanzo Mimba .

Jokate na Ali Kiba
Wakati mastaa wenzake Bongo, Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja wakifurahia kunasa ujauzito, taarifa ambazo zimevuja zinadai kwamba, chanzo cha Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ kumwagana na Mwanamuziki Ali Saleh Kiba ni kufuatia kuchoropoka kwa mimba ya mrembo huyo hivyo kumsononesha moyo wake, Ijumaa limenyetishiwa siri nzito.
Habari kutoka ‘redio mbao’ za mjini zilidai kwamba, wiki mbili zilizopita, Jokate na Kiba waliingia kwenye gogoro zito mara tu baada ya kuripotiwa kuchoropoka kwa ujauzito huo ikisemekana kuwa hali hiyo ilimpata kufuatia kufanya mazoezi makali ya kudensi akijiandaa na shoo.

“Unajua Kiba aliposikia mimba ya Jokate ambayo aliamini ni yake imechoropoka, alihisi anafanyiwa figisufigisu na kwamba huenda Jojo hakuwa amejiandaa kuitwa mama,” kilidai chanzo chetu kilichoomba hifadhi ya jina na kuongeza:

“Ndiyo chanzo cha ugomvi wa Jokate na Kiba licha ya zile sababu nyingine za tofauti ya dini, wazazi wa Jokate kutomtaka Kiba. Bado vikao vya kuwasuluhisha vinaendelea lakini jamaa (Kiba) anaonekana kutia ngumu.”

Hata hivyo, habari mpya zilizolifikia gazeti hili zilidai kuwa kumwagana kwa Jokate na Kiba kulipokelewa kwa kicheko na ndugu wa mrembo huyo ambao tangu awali walionekana kutounga mkono penzi la wawili hao.

Gazeti hili lilipomtafuta Kiba ili kufafanua ishu hiyo, kama kawaida simu yake iliita bila kupokelewa lakini kwa upande wake Jokate alikuwa na haya ya kusema: “Jamani naombeni mniache, sitaki kabisa kuongelea hayo mambo ya Ali Kiba.”

Hata hivyo, mwanahabari wetu alipotaka kusikia japo neno lake juu ya kuachana na Kiba na kwamba chanzo ni kuchoropoka kwa ujauzito huo, alisisitza kwamba aachwe.

Idriss Sultan Asimulia A to Z Jinsi Alivyompa Mimba Wema Sepetu.....

WEMA ALIMWAMBIA IDRIS KUWA ANATAKA KUSAFISHA KIZAZI...IDRIS AKASEMA SUBIRI KWANZA TUJARIBU TUONE KWA HIYO AKAMWAMBIA SIKU YA KUFANYA HILO TENDO ASILE KITU CHOCHOTE KUANZIA SAA TANO NA MIDA YA JIONI WAWEZE KUFANYA KITU HICHO..BAADA YA KUFANYA HICHO KITU  KESHO YAKE WEMA AKAANZA KUTEST MKOJO NA VIPIMO VYAKE KUONA KAMA AMENASA MARA VIPIMO VIKAONESHA KAMA AMENASA.BAADA YA KUONA HIVYO AKAPAGWA NA AKAONA NI BORA AENDE KWA DAKTARI WAKE ILI APATE UHAKIKA ZAIDI.
DAKTARI NAYE AKATHIBITISHA KWAMBA NI KWELI AMEPATA MIMBA.MTANDAO HUU WA UDAKU UNAWAPA HONGERA SANA WEMA SEPETU NA IDRIS

Thursday, January 28, 2016

A Cute Romantic Love Story.

A boy loved an innocent girl so much. One day he asked her girl friend to come to the library. She was being late due to some reason. So they both were fighting.

Suddenly some tear dropped from the girls eyes. She could not bear the pain of being shouted over by the person whom she loved the most. The boyfriend who was shouting on her, seen her tears, said don’t act here. I don’t like to listen anything. Why did you came late and don’t give me any reason for being late? He couldn't see her hurt in fact. Still he kept shouting at the girl. Boy-What does you think of you? Defeat me if you think you are better. Let’s have a challenge. Who kisses more, me or you? If you own I will give you 2 more kisses. I promise no one will disturb us during this challenge. Even time is not allowed to interfere our matter.

The girl, who was crying and hurt badly, suddenly started laughing. She smiled and kissed her boyfriend's forehead and said I think I defeated you?


Boy - "Certainly my sweet heart". (He holds the girl, smiled and kissed her once at wet eyelids and forehead too). if you won, then I’ll also win a chance to kiss you more and more.

Girl- Smiled and said I love you so much. She took boy's hands and kissed his palms while started crying again.

Boy- (hugged her) I love you too. I'm sorry to hurt you. I can't 
seeyour tears. I love you so much. (He also started crying)
Moral: Love is when the other person's happiness is more important than your own.
 

Penzi la Aslay wa Yamoto Band na Mrembo Video Qeen Laingia Shubiri .

Msanii wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihaka ametangaza kuwa yupo single.

Kabla ya hapo, Aslay aliwahi kuweka hadharani uhusiano wake na video model aitwaye Tessy Chocolate.

Hata hivyo siku za hivi karibuni muimbaji huyo aliacha kupost picha za mrembo huyo kwenye mtandao wa Instagram kiasi cha watu kuanza kuhisi kuwa mambo yameharibika.

Wiki hii aliiambia E-Newz ya East Africa Television kuwa kwa sasa hana mahusiano na binti yoyote.

Alisema kuhusiana na kinachoendelea katika upande wa mahusiano yake, hawezi kukizungumzia kwa sasa mpaka atakapoamua kuweka wazi nini kilitokea. Pia Aslay alishindwa kuzungumzia uvumi uliopo kuwa amemuacha msichana huyo baada ya kupata ujauzito.

BASATA Yakanusha Kuifungia “Zari All White Party” ya Zari Hassan

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limekanusha taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa limelifungia onesho la mpenzi wake Diamond, Zari, ‘Zari White Party’.

Moja kati ya mitandao iliyoandika story hiyo ni Jamii Forums, ambapo walidai BASATA imelifungua onesho hilo kufanyika hapa nchini.

Kupitia ukurasa wa Twitter, BASATA limekanusha taarifa hizo huku likiwataka wananchi kupuuza taarifa hizo.

Kuna uvumi unaenezwa kwenye mitandao ya kijamii & baadhi ya vyombo vya habari kutupigia simu kwamba kinachoitwa White Party kimefungiwa
Tunapenda kueleza kuwa habari hizo si za kweli ni za uzushi.Zipuuzwe.Pengine zinaratibiwa na watu wenye malengo yao. Wapuuzwe.

Wema Sepetu: Idris Umenifanya Nijivunie Kuwa Mwanamke

Idriss na Wema Sepetu
Zikiwa zimepita siku kadhaa toka Idris Sultan kuweka wazi kumpa ujauzito bidada Wema Sepetu kupitia katika account yake ya Instagram Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa Idris amempa heshima na kumfanya ajivunie kuwa mwanamke.

Wema Sepetu leo kupitia ukurasa wake wa Instgram amefunguka mambo mengi na kuonyesha kufurahishwa na wala hajutii kuanzisha mahusiano na Idris Sultan, katika ujumbe wa Wema anasema wazi anampenda Idris si kwa sababu tu na yeye anampenda hapana bali ni kutokana na ukweli kwamba Idris ametengeneza historia nyingine katika maisha yake na kumfanya kuwa mtu bora na kubadili kabisa maisha yake.

Wema Sepetu alizidi kushusha shukrani kwa kijana huyo na kusema ikiwa leo ni siku yake ya kuzaliwa Idris Sultan anataka kumueleza kuwa yeye Wema Sepetu anajiona ni mtu mwenye bahati kumpata yeye kama mtu wake au mpenzi wake na kusema atamtunza na kumheshima kwa muda mrefu sana.

Zifuatazo ni baadhi ya nukuu kutoka kwa Wema Sepetu katika ujumbe wake huo ambao umekuwa ujumbe maalumu kwa mpenzi wake huyo katika siku yake ya kuzaliwa.

" Nimeandika na kufuta karibia mara mia maana kila ninachotaka kuandika najikuta naona hakifai and maybe hakitoshi.... Im busy looking for the Proper words to tell you how I truly feel but naona kama sio.... I thought deep and I jus simply decided to write this Idris I love you, not only because you are my man or because you love me too No...!!! I love you because you make me a Better person, You changed my whole life.... You Complete me" Alisema Wema

"You are the only person That has really made me feel like a woman.... Oh...! I just love you with all my heart... Now before The Clock strikes 12, Let me be The 1st to wish you a Happy Birthday My Love " Alimaliza Wema Sepetu

Eritrea yakerwa na habari ya wake wawili


Habari ya mzaha kwamba wanaume wa taifa la Eritrea wameagizwa kuoa wake wawili, ambayo imesambaa barani Afrika imewaudhi maafisa wa taifa hilo.
''Hata mwendawazimu katika mji mkuu wa Asmara atajua kwamba habari hii sio ya kweli'',afisa mmoja wa ubalozi wa Eritrea Kenya ameiambia BBC.
Habari hiyo ilichapishwa katika mtandao wa kitengo cha gazeti la The Standard la Kenya cha Crazy Monday.
Baadhi ya watu wametoa maoni yao katika mtandao wa Twitter kwamba wako tayari kusafiri hadi Eritrea ili kutafuta wanawake wa kuoa.
''Jarida la Crazy Monday ambalo huchapishwa na gazeti la Standard hujulikana sana kwa stori zake za udaku, likiwa ni mpango wa kutaka kuwavutia vijana," anasema Mathias Muindi wa BBC Media Monitoring
Lakini hilo halijazuia taarifa hiyo kuripotiwa katika mataifa ya Nigeria hadi Afrika Kusini huku wengine wakisema kuwa ni ukweli.
Habari hiyo inasema kwamba ili kuhakikisha kuwa kuna wanaume walio wachache nchini humo wanaokidhi mahitaji ya wanawake walio wengi, kufuatia vita kati ya taifa hilo na Ethiopia mwaka 1998-2000, kila mwanamume lazima aowe wake wawili la sivyo afungwe jela.
Lakini afisa wa ubalozi wa Eritrea aliyezungumza na BBC amesema idadi ya wanawake na wanaume inakaribiana.
Waziri wa habari nchini Eritrea Yemane Gebremeskel alituma ujumbe katika mtandao wa Twitter akisema kwamba habari hiyo ni ya uvumi, sio ya kweli na inakera

Sweden kuwafurusha wahamiaji 80,000.


  
Wahamiaji Sweden
Mamlaka nchini Sweden imeanza mpango wa kuwafurusha takriban wahamiaji 80,000,waziri wa maswala ya ndani amenukuliwa akisema.
Anders Ygeman amesema ndege itatumiwa kuwarudisha wahamiaji hao lakini itachukua miaka kadhaa.
Takriban wahamiaji 163,000 walituma maombi ya uhamiaji nchini Sweden mwaka 2015,ikiwa ni idadi ya juu barani Ulaya.
Idadi hiyo imeshuka sana tangu Sweden iweka sheria kali za kudhibiti mipaka yake mwaka huu.
Pamoja na Ujerumani mataifa yote ya Scandinavia ni maeneo yanayopendwa sana na wahamiaji wanaoingia barani Ulaya kinyume na sheria.
Kati ya visa 58,800 vya wahamiaji vilivyoangaziwa mwaka uliopita,asilimia 55 ya visa hivyo vilikubaliwa.
Kati ya wale ambao huenda wakafunrushwa,Bw.Ygeman amenukuliwa katika vyombo vya habari nchini Sweden akisema kuwa wahamiaji hao ni 60,000 lakini idadi hiyo inaweza kupanda hadi 80,000.

Clinton: Naweza kumteua Obama awe jaji.

Clinton

 
Clinton ndiye anayeongoza kura za maoni chama cha Democratic
Mgombea urais wa chama cha Democratic Hillary Clinton amesema linaweza kuwa wazo zuri sana kumteua Rais Barack Obama kuwa jaji wa Mahakama ya Juu.
Alikuwa akijibu swali aliloulizwa na mpiga kura katika mkutano wa kampeni jimbo la Iowa.
Alitakiwa aeleze iwapo baada ya kuwa Rais, anaweza kufikiria kumteua Rais Obama kuwa jaji wa Mahakama Kuu.
Alisema rais atakayeingia madarakani ana uwezo wa kuteua majaji watatu wa Mahakama ya Juu, shirika la habari la ABC News limeripoti.
"Lo! Hilo ni wazo zuri sana. Hakuna mtu amewahi kupendekeza hilo kwangu,” alisema Bi Clinton.
“Nalipenda sana wazo hilo. Anaweza kuwa na mambo mengine kadha ya kufanya, lakini nakwambia hilo ni wazo zuri sana.”
Bi Clinton alikihutubia watu takriban 450 waliohudhuria mkutano huo.
"Ni mwerevu sana, na anaweza kutetea hoja vyema, na alikuwa profesa wa sheria, kwa hivyo amehitimu,” alisema.
Obama
Clinton alihudumu kama waziri muhula wa kwanza wa Obama
“Sasa, tunahitaji kuwa na Bunge la Seneti linalodhibitiwa na chama cha Democratic ndipo aweze kuidhinishwa, kwa hivyo mtanisaidia kufanya hilo, tumekubaliana?”
Bi Clinton, alishindana vikali na Bw Obama kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya urais mwaka 2008 lakini akashindwa na baadaye akahudumu kama waziri wa mashauri ya kigeni wa Obama.

One of The Best Heart Touching Message - Must Read .

It was their anniversary, and Aisha was waiting for her husband Rajiv to show up. Things had changed since their marriage, the once cute couple couldn't-live-without-each-other had turned bitter.
Fighting over every little things, both didn't like the way things had changed.
Aisha was waiting to see if Rajiv remembered it was their anniversary!
Just as the door bell rang she ran to find her husband wet and smiling with a bunch of flowers in his hand.
The two started re-living the old days. Making up for fights, then was d plan for champagne, light music And it was raining outside! It was perfect.
But the moment paused when the phone in the bedroom rang.
Aisha went to pick it up and it was a man. "Hello ma'am I'm calling from the police station. Is this Mr Rajiv Mehra's number?"
"Yes it is!"
"I'm sorry ma'am; but there was an accident and a man died.
We got this number from his wallet; we need you to come and identify his body."
Aisha's heart sank.!!! She was shocked!
But my husband is here with me?"
"Sorry ma'am, but the incident took place at 2 pm, when he was boarding the train."
Aisha was about to lose her conscience.
How could this happen?!
She had heard about the soul of the person coming to meet a loved one before it leaves!
She ran into the other room.
He was not there. It was true! He had left her for good!!
Oh God she would have died for another chance to mend every little fight! She rolled on the floor in pain. She lost her chance! Forever!
Suddenly there was a noise from the bathroom, the door opened and Rajiv came out and said "Darling, I forgot to tell you my wallet got stolen today".
LIFE MIGHT NOT GIVE YOU A SECOND CHANCE. SO NEVER WASTE A MOMENT WHEN YOU CAN STILL MAKE UP FOR YOUR WRONGS!!!
Its the last quarter of the year so let's start making amends.
To parents
To siblings
To friends
And many more.
No one is promised tomorrow. Have a wonderful Life with no regrets!
This has to be one of the best message!!

Wednesday, January 27, 2016

Unamkumbuka Mwanamuziki Lil Kim! Huu Ndio Muonekano Wake wa Sasa...Nini Kimemtokea?



Hivi ndivyo Mwanamuziki Lil Kim Alivyo kwa sasa alivyokuwa akifanya show weekend iliyopita, Muonekano wake umebadilika sana baada ya kujaribu kujibadilisha sura kwa operations ili aendelee kuonekana msichana mbichi, pia amefanyiwa plastic surgery ya umbo lake kitu ambacho wadau wengi wamesema amezidi kuonekana kituko badala ya kupendeza......

Lil Kim Kabla na Baada ya Kuanza kujibadili sura

Nina Miaka 10 ila Siwezi Pitisha Siku Bila Kufanya Mapenzi na Watu Wakubwa



A girl aged 13 years is shockingly addicted to s**x that she complains that she cannot live in a
day without being made love to.
She was s**xually abused by people living around her in Mbare(Harare) at the early age of 7.
The abuses now lead her to be insatiable and demands for  s**x
regularly and cannot control her desire for it.
"I cannot do without having  s**x  with different kind of men daily, irrespective of who they are or where they are from".
The victim who is still a primary school pupil said if she did not
see any man to have  s**x  with her in her area, she would go to a
popular place called Charge Office Rank in Harare and beg for  s**x  from touts.

Please mature advice needed

Wema Sepetu Naye Afunguka Mazito Kuhusu Penzi Lake Kwa Idris Sultan.

Baada ya Idriss Kufunguka na kuweka wazi uhusiano wake na Wema Sepetu Siku kadhaa zilizopita ,usiku huu wa tarehe 27 siku moja kabla ya Birthday ya Sultan Wema Amefunguka Haya;

"Nimeandika na kufuta karibia mara mia maana kila ninachotaka kuandika najikuta naona hakifai and maybe hakitoshi.... Im busy looking for the Proper words to tell you how I truly feel but naona kama sio.... I thought deep and I jus simply decided to write this: "Idris I love you, not only because you are my man or because you love me too.... No...!!! I love you because you make me a Better person, You changed my whole life.... You Complete me.....!!! I love you because you make me feel good about myself, you make my heart skip a beat everytime I see ur name appear on my phone as u call me, you fill my tummy with butterflies everytime I see u... I love you because you can make me cry but at the same time make me laugh hysterically... I love you because you have been nothing but Da Man Ive always wanted... From your character, your personality, your IQ and your way of thinking to The way u touch me, feel me, hold me, Kiss me.... The way u look at me, The look on your face wen u know Iam not okay or maybe im nat happy.... These are some of the few things that make me Love You more everyday...." On ur birthday I want to tell you that Im the Luckiest girl to hav you as My Man and Im gon keep you for a veeeery veeeery long time( I couldve said forever but we all know forever doesnt exis...Well im nat so sure) I cant ask for more... You are Just Wonderful... Lord I thank you for this Being... Iam Forever Grateful....!!! Lord I ask you to protect my love... Keep him for as long as you can because he is dat person I do not want to lose anytime soon... I just wish nothing but Happiness for you and I babe...Happy Birthday Booboo... Happy Birthday to you Hubby....!!!You are the only person That has really made me feel like a woman.... Oh...! I just love you with all my heart... Now before The Clock strikes 12, Let me be The 1st to wish you a Happy Birthday My Love....!!!" Wema Sepetu

Acha kumchunga mpenzi wako kama mbuzi.



CoupleinBed_intimacy-660x439
 KWA MARA NYINGINE
tunakutana hapa kuweza kupeana darasa huru la mahaba. Hapa huwa tunajadili pamoja mada mbalimbali ambazo kimsingi zinaweza kuwa changamoto kwa wengine lakini kupitia wao tunajifunza pamoja.
Bila kupoteza muda, wiki hii tunajadili mada iliyopo mezani. Usaliti unauma. Hakuna ambaye atafurahia pindi asikiapo mwenzake amemsaliti. Ndiyo maana wapendanao hutumia nguvu nyingi sana kuhakikisha tu mwenzake hamsaliti.
Wapo ambao wanadiriki hata kuwawekea ulinzi wenza wao ili kuhakikisha kwamba kila kitakachofanywa na mpenzi wake anakijua. Kila eneo atakapokuwa mpenzi wake kunakuwa na watu wanaofikisha habari kama zilivyo.
Kundi la wanaume au wanawake wa aina hiyo ndiyo wale wanaokosa ustamilivu. Akimuona mpenzi wake amesimama na mtu tu barabarani, hana imani. Anatamani kujua wanazungumza nini. Mpenzi wake akichelewa kurudi nyumbani, anatilia shaka.
Anapiga simu kila dakika. Anamuuliza yuko wapi. Ikiwezekana amfuate hapo alipo ili kama kuna figisufigisu zozote amfumanie.
Akiwa amekaa pamoja na mpenzi wake anakosa amani. Simu ya mpenzi wake ikiita, anatega sikio haraka kusikiliza anayezungumza naye ni nani.
Kukagua simu kila wakati. Anataka kuona kama kuna madudu. Kila wakati anawapigia marafiki wa mpenzi wake, kujua taarifa za mtu wake. Hiyo ndiyo staili ya maisha yake. Matokeo yake inageuka kero kubwa kwa yule anayefuatiliwa.
Hapo ndipo zinapoibuka kauli kama hizi; “Huyu naye amezidi bwana. Haiwezekani awe ananichunga kama mbuzi. Mimi ni mtu mzima. Najua mema na mabaya. Bora hata ingekuwa kweli nafanya madudu lakini sifanyi. Yeye kila siku ananifuatilia.
Happy couple bed 
“Nakosa uhuru. Kila unachofanya unajua nafuatiliwa. Kila ukifanya kitu anakitilia shaka. Bora hata tuachane maana kwa staili hii tutakuwa watu wa kugombana kila kukicha.”
Marafiki zangu, hapa kuna kitu cha kujifunza. Kuna umuhimu mkubwa wa kuishi na mtu unayemuamini. Mwanadamu huwezi kumchunga. Kama mtu una shaka naye ni bora kuachana naye.
Kila mmoja wenu anapaswa kujitambua. Akili ya kujitambua kila mwanadamu amepewa na Mungu. Kutambua wewe ni nani na huyo mliyenaye mna malengo naye gani? Jadilini pamoja kuhusu umuhimu wa kujitambua.
Kama mna malengo ya kuishi kama mke na mume, heshima ya mume na mke ni nini? Mume ajitambue kwamba anapaswa kulinda utu wa mwenzi wake, vivyo hivyo kwa mke.
Hakuna kinachobadilika kwenye mapenzi. Kila unachokihitaji kwa maana ya mahitaji ya mwili, mpenzi wako anacho.
Hakuna sababu ya kuwa na tamaa. Ridhika na kile unachokipata kutoka kwa mpenzi wako. Uone kwamba unaposaliti ni kama mpenzi wako anakuona unachokifanya. Utambue kwamba kuna maradhi pia. Kuchepuka ni aibu. Ni kumdhalilisha yule umpendaye. Kama unampenda kweli kwa nini umsaliti? Mnapaswa kukubaliana kwamba hakuna sababu ya kuchungana lakini kila mmoja wenu ajichunge e ni mwenyewe .
N jia ya muongo siku zotfupi. Huna sababu ya kumchunga sana mpenzi wako kwani ipo siku ataumbuka yeye mwenyewe. Ikitokea hivyo mtazungumza na akiomba msamaha na kuahidi kutorudia, msamehe na umpe nafasi nyingine.
Nisisitize kwamba hakuna sababu ya kuchungana, kila mmoja ajichunge mwenyewe kwa kujiwekea uaminifu kwa mwenzake!

Ujauzito wa Wema Sepetu Waanza Kuonekana.

Ujauzito wa Staa na Mrembo wa Bongo Asiyeishiwa na Skendo hatimae waanza kuonekana wazi wazi kitu ambacho kimewafurahisha Team Wema Sepetu baada ya boss huyo wao kushutumiwa kuwa ni mgumba kwa muda mrefu...
Hapa ninekuwekea picha ujionee:

Faiza Ally "Najua Nilikosea Kupost Mwanangu Akiwa Analia..Naomba Radhii

Faiza Ally Awaomba Radhi Watanzania ila Kaacha Ujumbe huu:
"Hakuna njia rahisi ya kuvumbua maovu ya watu....niko tayari kupata misukosuko ya aina yoyote ili kuleta mabadiliko kwa mateso wanayo pitia wanawake na watoto... Ntasimama kwenye ukweli hata kama naumia kutukanwa na wamama wasio jielewa lkn mwisho wa siku ntawapa ujasiri wa kusimamia haki zenu na watoto wenu....NAJUA NIMEKOSA KUPOST MWANANGU AKIWA ANA LIA..... Lkn hiyo ndio ilikua njia pekee ya kuonyesha umma kuwa kuna haya... Mtoto ni jukumu la baba na mama ! Hata kama wamama tunajikaza kutunza watoto wetu lkn mwisho wa siku tuna umia na tunahitaji misaada kutoka kwa wenzi wetu.... Na sio mahitaji tu na mapenzi  ya baba na mtoto....Najua nchi yangu bado wana wake wako nyuma ktk kuungana na kujisimamai lkn mm ntajitolea na najua haita kuwa faida ya mmoja itakua ya wengi... Na hata wanaume wengine watajifunza kupitia hapa! Ntasimama... Ntawajibika... Na ntashiriki... Ikiwa binafsi! Serekali au makampuni binafsi kwa ajilia yangu na wanawake wengine ......KWA MTANZANIA YOYOTE NILIE MUUMIZA KUPITIA VIDEO YA SASHA NAOMBA RATHI LKN NAOMBA MSIANGALIE TU VIDEO ANGALIENI NA MAMBO MENGINE YA MUHIMU KTK HILI....! #HAKUNA JAMBO RAHISI..." Faiza

WHO kuitisha mkutano maalumu kuhusu kirusi Zika

Shirika la Afya Duniani, WHO limesema kesho litaitisha mkutano maalum kuhusu kirusi aina ya Zika ambapo kirusi hicho tayari kimeripotiwa kwenye nchi 20 huku Brazil ikiwa ni nchi iliyoathirika zaidi.
Msemaji wa WHO Christian Lindmeier
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, Msemaji wa WHO Christian Lindmeier ameeleza kwamba kirusi chenyewe cha Zika si hatari, kwani husababisha ukurutu mwilini.
Hata hivyo ameeleza kwamba Brazil imeshuhudia pia visa 4,000 vya watoto wanaozaliwa na vichwa vidogo, miongoni mwao 49 wakiwa wamefariki dunia, ikidaiwa hali hiyo kuwa na uhusiano na kirusi cha Zika.
Aidha amesema kwamba WHO haijapendekeza wanawake kujikinga dhidi ya kupata mimba, akieleza kwamba suluhu dhidi ya kirusi cha Zika hivi sasa ni kujikinga na mbu aina ya Aedes, ikiwa ni Brazil au kwingineko.