Sunday, January 31, 2016

Nimekoma Kumchunguza Mpenzi Wangu..Haya Ndio Yaliyonikuta..

Naombeni ushauri wadau,
Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.
Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.
Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.

No comments:

Post a Comment