Wednesday, January 27, 2016

Ujauzito wa Wema Sepetu Waanza Kuonekana.

Ujauzito wa Staa na Mrembo wa Bongo Asiyeishiwa na Skendo hatimae waanza kuonekana wazi wazi kitu ambacho kimewafurahisha Team Wema Sepetu baada ya boss huyo wao kushutumiwa kuwa ni mgumba kwa muda mrefu...
Hapa ninekuwekea picha ujionee:

No comments:

Post a Comment